• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2025-2030
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

MADAKTARI BINGWA WA MAMA SAMIA WAACHA ALAMA URAMBO

Siku iliyowekwa: October 4th, 2025

Timu ya Madaktari Bingwa wa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imeacha alama njema Wilayani Urambo kwa kutibu wagonjwa zaidi ya 250, kupitia Kambi waliyoiweka kwa muda wa Siku tano kuanzia tarehe 29.09.2025 hadi tarehe 03.10.2025.


Akizungumza katika hafla ya kuwaaga Madaktari hao, Mkuu wa Wilaya ya Urambo Mhe. Dkt. Khamis Mkanachi amewapa pongezi madaktari hao kwa kuitekeleza kazi yao vyema na kufanikisha kutoa huduma kwa Wananchi wa Urambo kama ilivyokusudiwa.


Aidha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Urambo Bi. Grace Quintine ameungana na Mkuu wa Wilaya ya Urambo kwa kuwashukuru  Madaktari hao na kueleza kuwa maoni yaliyowasilishwa na madaktari hao ameyapokea na yatakwenda kufanyiwa kazi ili kuboresha zaidi Hospitali ya Wilaya ya Urambo.


"Tunamshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutuletea Madaktari bingwa, kwani wanatoa huduna nzuri ambayo Wananchi wengi wasingeweza kuifikia kiurahisi, pia tunawashukuru kwa huduma waliyoitoa kwa wananchi na tunaamini wakati ujao wananchi wataendelea kujitokeza kwa wingi,

Kama Halmashauri tumepokea maoni mbalimbali kutoka kwa madaktari bingwa na tutayafanyia kazi ili tuweze kuleta ufanisi katika Hospitali yetu ya Wilaya ya Urambo" ameeleza Bi. Grace Quintine


Kwa niaba ya timu ya Madaktari Bingwa waliotoa huduma Wilayani Urambo, Dkt. Anastazia Komba (Daktari bingwa wa dawa za Usingizi na Ganzi - MOI) ameeleza kuwa wananchi wamekuwa na muitikio Mkubwa na wamefurahia huduma, pia wamepata ushirikiano Mkubwa kutoka kwa watumishi wa Hospitali ya Wilaya ya Urambo pamoja na Uongozi wa Wilaya kwa kuwa nao bega kwa bega tangu mwanzo wa utoaji wao wa huduma.


Aidha Dkt. Komba amemalizia kwa kusema kuwa Wananchi wa Wilaya ya Urambo na maeneo jirani wajitahidi kujitokeza kwa wingi zinapotokea fursa za Madaktari bingwa kwani huduma hizi hupatikana katika hospitali kubwa hapa nchini ambapo ni mbali na maeneo wanayoishi.


Sambamba na hilo Bw. Salum Hamis Mihambo Mkazi wa Kata ya Urambo ambaye ni mmoja kati ya Wananchi waliopata huduma za madaktari hao ameonyeshwa kufurahishwa na huduma yao huku akiwasisitiza Wananchi kutumia vyema nafasi kama hii.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO YA USIMAMIZI, USIMAMIZI USAIDIZI NA UKARANI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA, JIMBO LA URAMBO October 18, 2025
  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED GRACE QUINTINE AWAPONGEZA WATENDAJI KATA NA VIJIJI KWA UKUSANYAJI BORA WA MAPATO.

    October 14, 2025
  • Miradi yenye thamani ya zaidi ya Tsh. Milioni 938 yatembelewa Urambo

    October 11, 2025
  • CMT URAMBO YADHAMIRIA KUINUA PATO LA HALMASHAURI KUPITIA UWEKEZAJI

    October 08, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA MAMA SAMIA WAACHA ALAMA URAMBO

    October 04, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.

  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AERO88
  • YAMITOTO
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • YAMITOTO
  • Slot Gacor
  • f
  • AXL777
  • AERO88
  • Toto Slot
  • Situs Togel
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • Situs Slot Gacor
  • KOI200
  • KOI200
  • DORA77
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • UFABET
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • DORA77
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • KOI200
  • KOI200
  • YAMITOTO
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • Toto Slot Gacor
  • NABITOTO
  • AERO88 Slot Gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AERO88
  • YAMITOTO
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • YAMITOTO
  • Slot Gacor
  • f
  • AXL777
  • AERO88
  • Toto Slot
  • Situs Togel
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • Situs Slot Gacor
  • KOI200
  • KOI200
  • DORA77
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • UFABET
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • DORA77
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • KOI200
  • KOI200
  • YAMITOTO
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • Toto Slot Gacor
  • NABITOTO
  • AERO88 Slot Gacor