• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji

Mipango na  Takwimu na Ufuatiliaji

Seksheni hii lengo lake ni kutoa huduma za kitaalamu katika nyanja za Mipango, Bajeti na vilevile kuratibu shughuli za Halmashauri katika kutoa uwezeshaji wa utaalamu kwa  Serikali za Vijiji. Seksheni hii inaongozwa na Mkuu wa Idara ya Mipango na Takwimu na Ufuatiliaji anayewajibika kwa Mkurugenzi Mtendaji.

Idara hii ina shughulika na mambo yafuatayo:-

Kuratibu suala zima la maendeleo ya kiuchumi kwenye Wilaya ikijumuisha Sekta Binafsi, Mashirika, Mashirika yasiyokuwa ya kiserikali na Asasi za kijamii.

Kushauri na kuratibu utekelezaji wa sera za sekta mbalimbali katika Wilaya

Kuratibu maandalizi, usimamizi na tathimini ya mipango (Mpango Mkakati, Mpango Kazi na Bajeti) kwa ajili ya Sekretarieti ya wilaya.

Kuchambua, kuunganisha na Kusimamia maandalizi na utekelezaji wa Mpango wa Wilaya na Bajeti

Kuratibu miradi inayofadhiliwa na wafadhili/wadau wa maendeleo na kushauri shughuli za utekelezaji wa Miradi.

Kumshauri Mkurugenzi Mtendaji kuhusu shughuli na majukumu ya mashirika, taasisi za kijamii na sekta binafsi

Kushauri na kuratibu shughuli za utafiti katika Wilaya

Kuratibu mazoezi ya sensa ya watu na makazi

Kuratibu shughuli zitokanazo na majanga katika wilaya

Kuzisaidia na kuzishauri  Serikali za vijiji juu  uibuaji wa Miradi.

Kuratibu utekelezaji na kusimamia ushiriki wa sekta binafsi katika masuala mbalimbali ya maendeleo

Kusimamia na kutathimini utendaji wa Mamlaka za Seriklai za Mitaa katika Mkoa.

Matangazo

  • Maotokeo ya Mtihani wa Kidato cha IV, II na Darasa la nne, 2020 January 15, 2021
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato Cha I, 2021 December 18, 2020
  • Kuitwa Kazini Kada ya Afya July 09, 2018
  • Matokea Kidato cha Sita na Uwalimu July 13, 2018
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Sekondari 14 Urambo Zapata Huduma ya Intaneti

    October 20, 2019
  • Naibu Waziri Mgalu Apiga Goti Kuwashukuru Wananchi Urambo

    July 18, 2019
  • Pro.Ndalichako Akata Utepe VETA-Urambo

    July 09, 2019
  • Yaliyojili Urambo siku ya Meimosi

    May 01, 2019
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: S.L.P 170

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: 0784828287

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2021 Urambo . All rights reserved.