Utawala na Rasilimali Watu
Seksheni hii ina lengo la kuziwezesha Seksheni nyingine kutimiza majukumu yake, kutoa utaalamu na huduma mbalimbali zinazohusiana na usimamizi wa Rasilimaliwatu na Utawala kwenye Halmashauri. Seksheni hii inaongozwa na Afisa Mkuu wa Idara na Utumishi ambaye anawajibika kwa Mkurugenzi Mtendaji Wilaya.
Idara hii ina shughulika na mambo yafuatayo:-
Bomani Urambo
Anunani ya posta: S.L.P 170
Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824
Simu ya mkononi: 0784828287
Barua pepe: ded@urambodc.go.tz
Copyright ©2021 Urambo . All rights reserved.